ترجمة معاني سورة الفيل باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation. ﰡ ﮍﮎﮏﮐﮑﮒﮓ ﰀ Al-FilKwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo? ﮕﮖﮗﮘﮙ ﰁ Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika? ﮛﮜﮝﮞ ﰂ Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi, ﮠﮡﮢﮣ ﰃ Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni, ﮥﮦﮧ ﰄ Akawafanya kama majani yaliyo liwa!