ترجمة سورة العصر

Ali Muhsin Al - Swahili translation

ترجمة معاني سورة العصر باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation.

Al'asri


Naapa kwa Zama!

Hakika binaadamu bila ya shaka yumo katika khasara,

Ila wale walio amini, na wakatenda mema, na wakausiana kwa haki, na wakausiana kusubiri.