ترجمة سورة النصر

Ali Muhsin Al - Swahili translation

ترجمة معاني سورة النصر باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation.

An-Nasr


Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,

Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi,

Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.